BREAK NEWS

Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya watu tajiri zaidi duniani



#mchomonews: Jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya watu tajiri zaidi duniani ambapo Mwanzilishi wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos (54) ametajwa kuwa tajiri namba moja duniani kwa kuwa na utajiri wa Dola 112 Bilioni. 📸

No comments