BREAK NEWS

‪Kikosi cha timu ya Taifa Morocco U20 tayari kimewasili jijini Dar Es Salaam



‪Kikosi cha timu ya Taifa Morocco U20 tayari kimewasili jijini Dar Es Salaam kwa michezo miwili ya kirafiki dhidi ya:‬

‪Tanzania (Ngorongoro Heroes) kesho Jumamosi Machi 17, ‬2018 na dhidi ya Msumbiji Machi 19, 2018.

‪Mechi zote zitachezwa uwanja wa Taifa jijini Dar Es Salaam



No comments