#mchomonews: Mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ametoa ahadi ya fedha kiasi cha sh. 100,000 kwa mtu atakayetoa taarifa na kuwafichua wafanyabiashara wanaoendelea kuuza pombe za viroba ambazo zilizopigwa marufuku na serikali.
Mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama ametoa ahadi ya fedha kiasi cha sh. 100,000
Reviewed by Unknown
on
March 14, 2018
Rating: 5
No comments