BREAK NEWS

TAIFA STARS USO KWA USO NA ALGERIA MARCH 22



‪Taifa Stars itacheza dhidi ya timu ya taifa Algeria jijini Algiers Machi 22, 2018 na dhidi ya DR Congo Machi 27, jijini Dar Es Salaam.‬

‪Michezo yote hii miwili ya kirafiki itachezwa katika kalenda ya FIFA ya michezo ya kimataifa kwa timu za Taifa. ‬

No comments