Klabu ya Yanga leo Jumanne ya March 20-2018 inatarajiwa kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari.
Mkutano huo unatarajiwa kuanza majira ya saa nane mchana mahali ni Makao Makuu ya klabu hiyo, mtaa wa Jangwani jijini Dar es salaam.
YANGA KUFANYA MKUTANO NAWANDISHI WA HABARI HIIBLEO
Reviewed by Unknown
on
March 19, 2018
Rating: 5
No comments