BREAK NEWS

a FIFA, Giovanni Infantiono ameishukuru Tanzania kwa kuandaa mkutano mkubwa wa FIFA



‪Rais wa FIFA, Giovanni Infantiono ameishukuru Tanzania kwa kuandaa mkutano mkubwa wa FIFA katika kiwnago cha hali ya juu.‬
‪Aidha amesema ataendelea kushirikiana na uongozi mpya wa TFF katika kuleta maendeleo ya mpira wa miguu kwani wameonyesha kufanya vizuri japo kwa muda mfupi.‬

No comments