David de Gea jana aliokoa michomo 8 dhidi ya Sevilla, idadi kubwa kwa golikipa wa Manchester United katika Champions League tangu Edwin Van Der Sar alipofanya hivyo katika mchezo wa fainali ya Champions League vs Barcelona mwaka 2011.
David de Gea jana aliokoa michomo 8 dhidi ya Sevilla
Reviewed by Unknown
on
February 22, 2018
Rating: 5
No comments