#mshananews: Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili nchini Uganda kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Ijumaa tarehe 23 Februari, 2018 Mjini Kampala.
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili nchini Uganda kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi
Reviewed by Unknown
on
February 22, 2018
Rating: 5
No comments