#mchomonews: Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amewaagiza mahakimu wote nchini kutoa bure nakala za hukumu kwa wananchi ili kurahisisha upatikanaji wa haki. Awali imekuwa ikilipiwa Sh10,000 kama gharama ya uandaaji wa nakala hiyo.
Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amewaagiza mahakimu wote nchini kutoa bure nakala za hukumu
Reviewed by Unknown
on
February 27, 2018
Rating: 5
No comments