#mchomonews: Kamati ya Nidhamu ya TFF imemfungia mechi 5 na faini ya shilingi milioni 1 mchezaji wa Kagera Sugar, Juma Nyoso baada ya kumkuta na hatia ya kumpiga shabiki baada ya mechi yao dhidi ya Simba.
Kamati ya Nidhamu ya TFF imemfungia mechi 5 na faini ya shilingi milioni 1 mchezaji wa Kagera Sugar, Juma Nyoso
Reviewed by Unknown
on
February 13, 2018
Rating: 5
No comments