#mchomonews: Mahakama nchini Nigeria imewaachia huru watu 475 ambao walikamatwa wakihusishwa na kundi la Boko Haram, sababu ya kuachiwa wengi wao ni kukosekana kwa uthibitisho wa uhusiano wao na kundi hilo.
Mahakama nchini Nigeria imewaachia huru watu 475 ambao walikamatwa wakihusishwa na kundi la Boko Haram,
Reviewed by Unknown
on
February 19, 2018
Rating: 5
No comments