#mchomonews: Mwili wa kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe, Morgan Tsvangirai umewasili nchini humo tayari kwa mazishi ambayo yatafanyika kesho Jumanne. Rais Emerson Mnangagwa amewataka wananchi kuungana kwa pamoja katika kipindi hiki cha majonzi.
Mwili wa kiongozi wa upinzani nchini Zimbabwe, Morgan Tsvangirai umewasili nchini humo tayari kwa mazishi
Reviewed by Unknown
on
February 19, 2018
Rating: 5
No comments