#mchomonews: Marekani imesema Makamu wa Rais Mike Pence alikuwa amepanga kukutana na dada wa Kim Jong Un, Kim Yo Jong wakati wa ufunguzi wa michezo ya Olimpiki uliofanyika Korea Kusini tarehe 9 Februari lakini Korea Kaskazini ilisitisha mpango huo.
Marekani imesema Makamu wa Rais Mike Pence alikuwa amepanga kukutana na dada wa Kim Jong Un
Reviewed by Unknown
on
February 21, 2018
Rating: 5
No comments