#mchomonews: Mbunge Godbless Lema ameeleza kuwa diwani wa Chadema kata ya Namwawala mkoani Morogoro, Godfrey Luena ameuawa usiku huu akiwa nyumbani kwake kwa kukatwa na mapanga na watu wasiojulikana.
Mbunge Godbless Lema ameeleza kuwa diwani wa Chadema kata ya Namwawala mkoani Morogoro, Godfrey Luena ameuawa
Reviewed by Unknown
on
February 22, 2018
Rating: 5
No comments