Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ameivunja rekodi ya Simon Msuva
OKWI AVUNJA REKODI YA MSUVA
JIUNGE NA NIJUZEHABARI.CO.TZ SASA!
Msuva na Abdulrahman walifunga magoli 14 kila mmoja na kuibuka wafungaji bora msimu msimu wa 2016-2017.
Okwi aliifikia rekodi yao kwenye mchezo ambao Simba ilikuwa ugenini kucheza na Mwadui mechi ambayo ilimalizika kwa sare ya 2-2.
Katika mchezo wa leo ambao Simba imeshinda 5-0 dhidi ya Mbao, Okwi amefunga magoli mawili ambayo yamemfanya aivunje rekodi hiyo.
Hadi sasa Okwi bado anaendelea kuongoza kwenye orodha ya wafungaji wa msimu huu akiwa na magoli 16 akifuatiwa na Obrey Chirwa mwenye magoli 11 huku John Bocco akiwa na magoli 10 katika nafasi ya tatu
Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ameivunja rekodi ya Simon Msuva
Reviewed by Unknown
on
February 26, 2018
Rating: 5
![Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi ameivunja rekodi ya Simon Msuva](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgM8ZE17LnXySV2zyiND9xnoUr9d3AU0sbQmFSG0Xg7sk8wXG3o61nkWTKBHhSa0RHtGqIDzFzXV70vVBBeobXY6wQsTBSYbMdOpjfLkwkf_mGulP7gln3zbtJMc1r2IGqNNh2PBjFR5e0/s72-c/IMG-20180226-WA0008.jpg)
No comments