##mchomonews: Waandamanaji nchini DR Congo wamesema kesho Jumapili watafanya maandamano katika miji mbalimbali nchini humo kumshinikiza Rais Joseph Kabila kujiuzulu lakini pia kutowania urais mwishoni mwa mwaka huu.
Waandamanaji nchini DR Congo wamesema kesho Jumapili watafanya maandamano
Reviewed by Unknown
on
February 24, 2018
Rating: 5
No comments