#mchomonews: Walimu watatu wameuawa leo asubuhi na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab kufanya shambulio katika Shule ya Msingi Qarsa iliyopo kaunti ya Wajir nchini Kenya.
Walimu watatu wameuawa leo asubuhi
Reviewed by Unknown
on
February 17, 2018
Rating: 5
No comments