#mchomonews: Zimbabwe imetangaza utaratibu mpya wa kuomba visa ambao utawawezesha wananchi kutoka nchi 28 kupata visa baada ya kuwasili nchini humo, hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za serikali kukuza sekta ya utalii.
Zimbabwe imetangaza utaratibu mpya wa kuomba visa
Reviewed by Unknown
on
February 16, 2018
Rating: 5
No comments