#mchomonews: Kampuni ya Microsoft imesema itamsaidia vifaa mwalimu kutoka Ghana, Owura Kwadwo ambaye picha zake zilisambaa katika mitandao zikimwonyesha akiwafundisha wanafunzi programu ya Microsoft Word kwenye ubao.
Kampuni ya Microsoft imesema itamsaidia vifaa mwalimu kutoka Ghana
Reviewed by Unknown
on
March 04, 2018
Rating: 5
No comments