Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mchezji wa Simba Sc Said Hamis Ndemla , ila mchambuzi wa hapa nchini Edo Kumwembe amesema kwa uwezo wa mchezaji huyu kuendelea kucheza soka la bongo ni kupoteza muda amedai asipoangalia hilo atakuja kujutia.
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mchezji wa Simba Sc Said Hamis Ndemla
Reviewed by Unknown
on
March 11, 2018
Rating: 5
No comments