#mchomonews: Rais wa Marekani Donald Trump amekubali ombi la Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un la kutaka wakutane mwezi Mei mwaka huu baada ya Korea Kaskazini kukubali kusitisha mpango wa nyuklia na majaribio ya makombora.
Rais wa Marekani Donald Trump amekubali ombi la Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un
Reviewed by Unknown
on
March 08, 2018
Rating: 5
No comments