#mchomonews: Shirika la Reli Tanzania limeingia makubaliano na kampuni ya Progress Rail Locomotives (PRL) ya Marekani kwa ajili ya kuvinunua vichwa 11 vya treni kwa Dola milioni 26.4 ambavyo vilikuwa bandarini vikiwa havina mwenyewe.
Shirika la Reli Tanzania limeingia makubaliano na kampuni ya Progress Rail Locomotives
Reviewed by Unknown
on
March 16, 2018
Rating: 5
No comments