Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) imesema imepokea majeruhi 8
Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) imesema imepokea majeruhi 8 wa ajali iliyotokea siku ya Jumamosi Machi 24 katika kijiji cha Mparange wilaya ya Mkuranga, Pwani na kusababisha vifo vya watu 26.
No comments