#mchomonews: Kamati Kuu ya chama tawala nchini Ethiopia cha EPRDF imekubali maombi ya Hailemariam Desalegn kujiuzulu nafasi ya Uwaziri Mkuu na Unyekiti wa chama hicho. Desalegn aliwasilisha barua ya kujiuzulu jana Alhamisi Februari 15, 2018.
Kamati Kuu ya chama tawala nchini Ethiopia cha EPRDF imekubali maombi ya Hailemariam Desalegn kujiuzulu
Reviewed by Unknown
on
February 16, 2018
Rating: 5
No comments