BREAK NEWS

Kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba huenda akachezeshwa



Kiungo wa kati wa Manchester United  Paul Pogba huenda akachezeshwa katika awamu ya kwanza ya mechi ya klabu bingwa dhidi ya Sevilla ugenini.

Pogba alikosa mechi ya ushinda 2-0 dhidi ya Huddersfield katika kombe la FA  siku ya Jumamosi  kutokana na kuugua lakini alifanya mazoezi siku ya Jumanne.

No comments