#mchomonews: Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeitaka serikali kumkamata Rais wa Sudan, Omar Al Bashir pindi atakapotembelea nchi hiyo ili afikishwe katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) kujibu tuhuma za uhalifu wa kivita na mauaji.
Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeitaka serikali kumkamata Rais wa Sudan, Omar Al Bashir
Reviewed by Unknown
on
February 20, 2018
Rating: 5
No comments