BREAK NEWS

Simba imefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenjeji Gendarmerie



Simba imefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenjeji Gendarmerie katika mchezo wa marudiano, goli hilo limefungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 55.

Simba wanasonga mbele kwa jumla ya bao 5-0.

Baada ya ushindi huo Simba watakutaba na Al-Masry ya Misry

No comments