#mchomonews: Manchester City imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza #EPL. Goli pekee la ushindi la Man City limefungwa na Bernando Silva katika dakika ya 46 ya mchezo huo.
MANCHESTER CITY AWA MBABE ZIDI YA CHELSEA
Reviewed by Unknown
on
March 04, 2018
Rating: 5
No comments