#mchomonews: Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi alipofikishwa jana usiku baada ya kuugua ghafla.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameruhusiwa kutoka hospitalini
Reviewed by Unknown
on
March 05, 2018
Rating: 5
No comments