BREAK NEWS

‪Nahodha wa Simba, John Bocco amesema wachezaji wote wako katika hali nzuri



‪Nahodha wa Simba, John Bocco amesema wachezaji wote wako katika hali nzuri kuelekea katika mchezo wao wa kesho dhidi ya Al Masry.‬

‪Bocco amewaomba washabiki wa Simba na watanzania wote kwa ujumla kujitokeza kesho kwa wingi uwanjani kuwasapoti.‬

No comments