#mchomonews: Rais wa Rwanda Paul Kagame ameshangazwa na idadi kubwa ya makanisa (700) ambayo yamefungwa nchini humo kutokana na kutotimiza masharti. Amesema hakutegemea kama kuna idadi kubwa hivyo ya makanisa na yote yanawahubiria watu.
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameshangazwa na idadi kubwa ya makanisa (700)
Reviewed by Unknown
on
March 03, 2018
Rating: 5
No comments