#mchomonews: Serikali ya Ufaransa imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua inazochukua katika mapambano dhidi ya rushwa na inaamini fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali zitatumika kama ilivyokusudiwa.
Serikali ya Ufaransa imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua inazochukua
Reviewed by Unknown
on
March 05, 2018
Rating: 5
No comments