BREAK NEWS

‪Tanzania imefuzu hatua ya Fainali



‪Tanzania imefuzu hatua ya Fainali ya mashindank ya CECAFA U17 baada ya kuichapa Kenya 2-1 leo katika mchezo wa Nusu Fainali.‬

‪Serengeti Boys watacheza fainali dhidi ya Somalia wikiendi nchini Burundi. ‬

No comments