#mchomonews: Kampuni ya madini ya Acacia imesema kuna uwezekano ikauza sehemu ya mali zake zilizopo hapa nchini. Kampuni mbili tofauti za China, Shandong Gold Mining na Zijin Mining Group zimeripotiwa kuanza mazungumzo na Acacia.
Kampuni ya madini ya Acacia imesema kuna uwezekano ikauza sehemu ya mali zake zilizopo hapa nchini.
Reviewed by Unknown
on
February 17, 2018
Rating: 5
No comments