BREAK NEWS

‪Wydad Athletic Club ya Morocco imetwaa Kombe la Super Cup



‪Wydad Athletic Club ya Morocco imetwaa Kombe la Super Cup baada ya kuifunga TP Mazembe kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika nchini Morocco.‬
‪Wydad ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika 2017, huku TP Mzembe wakiwa ni mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika 2017‬

No comments