Rais Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Urusi
#mchomonews: Rais Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Urusi baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo kwa kupata kura milioni 55.4 (76.64%).
Akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi amesema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake.
Akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi amesema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake.
No comments