#mchomonews: Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni linamshikilia mtumishi mmoja wa ubalozi wa Syria kwa sababu za kiupelelezi kufuatia kuvamiwa kwa mhasibu wa ubalozi huo hapa nchini Hassan Alfaouri na kuporwa fedha kiasi cha Euro 93,000.
Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni linamshikilia mtumishi mmoja
Reviewed by Unknown
on
March 21, 2018
Rating: 5
No comments