#mchomonews: Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia maisha kutojihusisha na mchezo wa mpira wa miguu Makamu wa Rais wa shirikisho hilo, Michael Wambura baada ya kukumkuta na hatia ya makosa matatu ikiwemo kupokea fedha za malipo ambayo hayakuwa halali.
Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia maisha kutojihusisha na mchezo wa mpira wa miguu Makamu wa Rais wa shirikisho hilo
Reviewed by Unknown
on
March 15, 2018
Rating: 5
No comments