#DewjiBlogNews: Serikali ya Syria imesema haina silaha za kemikali na kwamba makundi ya kigaidi nchini humo likiwemo la Al-Nusra na Dola ya Kiislamu (IS) ndiyo yana shehena za silaha hizo.
Serikali ya Syria imesema haina silaha za kemikali
Reviewed by Unknown
on
March 01, 2018
Rating: 5
No comments